Akina mama ni tofauti, akili yangu imeifichua Kuna mke bila kifani , aliyenifanya kuyachukua Malimwengu haya ulimwenguni, ubongo wangu akauchemua Hadi namie kuwa mneni, ndiyo sababu kumuinua. Mama yangu mvumilivu , hakukosa kuvumaika Ili nami kuwa shupavu, nitakapopata kutilifika Niliposai hakusibu, uchafu ugonjwa hakuchoka Wema wake mwelekevu, umenirithi kumuigiza. Mimba yake ilipopeta, hakupatwa na usingizi Zingizi kubwa zilimpata, ikampotea yake pumzi Akazirai hata zezeta, yote hayo ni mauguzi Bali yeye hakutepeta, alijikaza kama mzazi. Kutoka utoto hadi leo, maisha yangu ya duniani Tena ya tumbo zaliwa bado, yalikuwa ni ya thamani Makosa yote niyafanyayo, wala sema na samahani Hakupatwa na jakamoyo, kunipeleka mahakamani. Hayo yote namshukuru, pindi sina la kumtuza Siwezi kamwe kumsahau, sauti yangu kumliwaza Na kumfanya kuthabasamu, kila siku nitaipaza Nitajaribu toa ghamu, apate mema kumpongeza.

Share this


Mashairi mapya ya bongo flava
Shairi kwa Mama yangu! Nimeandika shairi hili maalumu kwa mama yangu na akina mama wengine wote. MAMA Mama wewe ni zawadi, ya maisha duniani, Kwao wowote weledi, wewe unayo thamani, Kwazo zako juhudi, nikaja ulimwenguni, Mama wewe ni zawadi, kutoka kwake Muumba. Kwa malezi yako bora, daima huna kifani, Kwa zako tele busara, na mwongozo maishani, Mama wewe ni kinara, nuru yangu maishani. Mama wewe ni zawadi, kutoka kwake Muumba. Mama faraja yangu, pindi niwapo shidani, Hunipooza machungu, moyoni iwe amani, Nakuombea kwa Mungu, heri tupu duniani, Mama wewe ni zawadi, kutoka kwake Muumba.
KURIKIRANA AMAKURU AGEZWEHO
To browse Academia. Skip to main content. Log In Sign Up. Download Free PDF. Yusuf Lali. Lugha yangu ya utoto,hata sasa nimekua, Tangu ulimi mzito,sasa kusema najua, Ni sawa na manukato,moyoni mwangu na pua, Pori bahari na mto,napita nikitumia, Titile mama litamu,jingine halishi hamu. One's mother's breast is the sweetest, no other so satisfies. The speech of my childhood ,now I am fully grown I realize thy beauty and have made it all on my own And though refreshest my spirit like the scent of the roses blown Through desert and o'er ocean may I thy praises known. Kuungana walimwengu, ni neno lenye mwafaka, Linapendeza kwa Mungu, pamoja na malaika Kukwambia nenda zangu, sithubutu kutamka, Na kadhalika mwenzangu, sidhani hilo wataka, "Hutaki" lina uchungu, na kwangu ni kadhalika.
Ukitaka nikubebe ubembee juu kwa juu You know I like it Ukitaka tuendeshe utembee kwa miguu You know I like it Ukitaka nikubebe ubembee juu kwa juu You know I like it I give you all everything when I do my tings with you You know I like it. Hands in the air one time Hands in the air two time We will always have a party like Hands in the air one time Hands in the air four time We will always have a party like. Kiherehere kimeniisha Leo nimekuwa simulizi kwa penzi wako Waninanga wee Zaidi yanisikitisha Eti nimekuwa chuma chakavu Roho ipo juu ya mawe. Ooh salala Huenda sio fungu langu nimekosea kuchagua Masala Nimezidisha chenji kimeota nyasi Mbagala Nilipita dirisha nafasi kuigombania Ah baba Kumbe basi limejaa na mlango upo. Haioni mboni yangu kiza kinene Kibatari utambi umetumbukia kiza kinene Yaila ghidira yangu kiza kinene Nimepekechwa nguzo niliyoegemea kiza kinene. Chumbani kwangu kaingia kunguni gani Mara kwenye kitanda mara kwa shati Aii, haya ni maruhani Yanafanya nakosa amani. Ooh salala Huenda sio fungu langu nimekosea kuchagua Masala Tushazamisha meli yameisha Mabega Nitaambia nini waingo mukhana tire na Ingababwa Nina mafeelings ingawa sijiwezi. Hayaoni macho yangu kiza kinene Koroboi utambi umetumbukia kiza kinene Yaila ghidira yangu kiza kinene Its never gonna be the same No no no no ooh kiza kinene. Uno likiteguka huwezi kutembea Masai ruka ruka analinyenyekea Chumbani kwenye shuka linanitetea Mzungu kawehuka limemkolea.